MAHAFALI YA CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO(UB).YALIVYOFANA.MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA DK.GHARIB BILAL ALIKUWA MGENI RASMI
Mahafali hayo yaliyofanyika Katika UKUMBI wa Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam,Desemba
7 Mwaka 2013 AMBAPO Makamu wa Rais Tanzania,Dk.Mohammed Gharib Bilal
alikuwa mgeni rasmi.
Katika picha mbalimbali anaoneka Happiness Katabazi akipewa mkono wa
pongezi na Makamu wa Rais Dk.Bilal.Kwani Happiness alitangazwa Kuwa
mwanafunzi aliyofanya vizuri kuliko wanafunzi wote kwa ngazi ya
Stashahada a Sheria.katabazi HIvi sasa ni mwanafunzi wa shahada ya
Sheria ya chuo hicho Cha UB.
picha za tukio bofya hapa