Monday 9 December 2013

1st University of Bagamoyo Graduation Ceremony

Posted by University of Bagamoyo On 21:45 No comments

MAHAFALI YA CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO(UB).YALIVYOFANA.MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA DK.GHARIB BILAL ALIKUWA MGENI RASMI

 
Mahafali hayo yaliyofanyika Katika UKUMBI wa Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam,Desemba 7 Mwaka 2013 AMBAPO Makamu wa Rais Tanzania,Dk.Mohammed Gharib Bilal alikuwa mgeni rasmi. Katika picha mbalimbali anaoneka Happiness Katabazi akipewa mkono wa pongezi na Makamu wa Rais Dk.Bilal.Kwani Happiness alitangazwa Kuwa mwanafunzi aliyofanya vizuri kuliko wanafunzi wote kwa ngazi ya Stashahada a Sheria.katabazi HIvi sasa ni mwanafunzi wa shahada ya Sheria ya chuo hicho Cha UB.
 
picha za tukio bofya hapa

Site search